Imerushwa: November 20th, 2021
Timu ya Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Handeni (CMT) imefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwenye Halmashauri ya Handeni.
Mwenyekiti wa timu ya Menejimenti hiyo Bw. ...
Imerushwa: November 19th, 2021
Idara ya elimu kupitia kitengo cha Sayansikimu iliadhimisha Kilele cha maadhimisho ya Juma la kunawa mikono na usafi wa mazingira katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mkomba Kata ya Kwachaga, Kiji...
Imerushwa: November 13th, 2021
Baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Handeni limefanya kikao chake cha robo ya kwanza cha mwaka wa fedha wa 2021/2022 kwenye ukumbi wa Halmashauri.
Mwenyekiti wa baraza hilo Mhe. Mussa Ib...