Imerushwa: February 22nd, 2018
Uongozi wa Halmashauri ya Wilayaya Handeni umekabidhiwa rasmi mradi wa choo cha matundu sita kilichojengwa na shirika lisilo la Kiserikali CDMT(Community Development Mission of Tanzania) lenye thamani...
Imerushwa: February 21st, 2018
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Bw.William Makufwe amewataka walimu,Wakuu wa shule za Sekondari na Walimu Wakuu wa shule za Msingi kufanya kazi kwa Uadilifu,Uaminifu na uwajibi...
Imerushwa: February 18th, 2018
Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Handeni limekubaliana kwa pamoja kuhamasisha wananchi kulima mazao ya biashara ambayo ni Muhogo , korosho, pamba na Katani Ili kuinua uchumi wa ...